Nidhamu Haki Weledi na Uadilifu ni msingi wa mafanikio Yetu.

JESHI LA TANZANIA

Usalama wa Raia na Mali zao

Tuna lengo la kutoa huduma bora zitakazowezesha kubaini, kuzuia na kudhibiti uhalifu ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kuhusu

Historia ya Jeshi

Jeshi la Polisi la Tanzania lilianzishwa rasmi 25 August 1919 kwa tangazo la Serikali ya Kiingereza lililotoka Gazeti la Serikali No.Vol.1 No.21-2583 kwa wakati huo likaitwa Jeshi la Polisi Tanganyika.

Makao Makuu ya Jeshi hilo kulinga na natangazo hilo yalikuwa Wilayani Lushoto Mkoani Tanga chini ya uongozi wa Major S.T Davis.

Previous slide
Next slide

Huduma Mtandao

Jaza fomu mtandaoni kupata ripoti ya mali uliyopoteza.

Angalia kama gari yako ina faini mbalimbali 

Fahamu namna ya kupata hati ya Polisi ya tabia njema

Dawati - GBV

Dawati la kuzuia ukatili wa kijinsia, wanawake na watoto 

Mfumo wa maombi ya ajira kwa vijana wanojiunga Polisi

Usalama & Umiliki wa Silaha

Umiliki, Uingizaji na Upitishaji na Utoaji wa silaha Tanzania

Toa malalamiko yako dhidi Jeshi la Polisi

Namna ya kuomba leseni mbalimbali za udereva

22 - 29 - 2023

Jeshi la Polisi kupitia mtandao wa Polisi wanawake TPF-NET, ndio wenyeji wa mkutano wa umoja polisi wanawake duniani kanda ya Afrika. Mkutano utahusisha wanawake kutoka taasisi zote za ulinzi na usalama Tanzania.

Wengine ni wawakilishi kutoka nchi za Afrika.

Play Video

Mafunzo, Mazoezi & Nidhamu.

WELCOME TO GUARDZA

Join With Guardza

Amet donec massa mauris Dolor vel nunc quam